Mapokezi ya Mgombea Urais wa CCM Bukoba

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Bukoba kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Bukoba kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia burudani wakati alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Bukoba kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia burudani wakati alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Bukoba kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni