Chama cha Mapinduzi (CCM)
kimeutaarifu umma wa Watanzania wote kuwa kinatumia nembo maalum (QR Code)
kuweza kuhakiki na kuitambua taarifa rasmi inayotolewa na chama hicho, ili
kudhibiti uzushi unaotolewa na watu wenye malengo ovu ya kupotosha na kuzua
tafrani.
0 Maoni