Wenye tatizo la ugumba wafike Hospitali ya Mkapa

 

Madaktari Bingwa wa Uturuki wakishirikiana na Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Benjamin Mkapa wameanza kufanya kambi maalum ya kutoa huduma za uchunguzi wa matibabu katika magonjwa ya uzazi, ugumba na magonjwa ya macho katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.



Chapisha Maoni

0 Maoni