Waziri Mkuu atembelea kiwanda cha kuchakata Parachichi mkoani Njombe

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama parachichi alipotembelea Kiwanda cha Kuchakata  zao la  Parachichi  AvoAfrica Tanzania Limited kiichopo Makambako Mkoani Njombe, Machi 23, 2025. Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa kiwanda hicho, Nagib Kamal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa  Nagib Kamal  ambaye ni Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Kuchakata Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited kilichopo Makamabako Mkoa wa Njombe  kuhusu makasha yenye parachichi  yanayosubiri kusafirishwa nje ya nchi, Machi 23, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchakata Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Liited,  Nagib Kamal (kulia) kuhusu  uchakataji wa Parachichi, Machi 23, 2025. Wa pili kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana na kushoto ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exhaud Kigahe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Nagib Kamal, Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Kusindika  Mafuta ya Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited killichopo  wilaya  ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, Machi 23, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wafanyakazi wa Kiwanda cha Kusindika Mafuta ya  Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited  alipotembelea kiwanda hicho kilichopo wilyani Wanging’ombe mkoa wa Njombe Machi 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Chapisha Maoni

0 Maoni