Freeman Mbowe ampongeza Lissu kwa hotuba yake

 

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, akimpongeza Makamu wake bara, Tundu Lissu baada ya hotuba aliyoitoa wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City, Jijini Dar es Salaam.

Mbowe, Lissu na Charles Odero wanagombea nafasi ya uenyekiti wa Chadema katika uchaguzi unaofanyika leo.

Zoezi la uchaguzi huo linaanza hivi bunde baada ya wajumbe kuridhia hoja kadhaa za Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika.

Chapisha Maoni

0 Maoni