Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza treni
moja ya abiria kwa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kutokana na ongezeko la
abiria wanaotaka kusafiri na treni kuelekea mikoa hiyo katika msimu huu wa
sikukuu za mwisho wa mwaka.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza treni
moja ya abiria kwa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kutokana na ongezeko la
abiria wanaotaka kusafiri na treni kuelekea mikoa hiyo katika msimu huu wa
sikukuu za mwisho wa mwaka.
0 Maoni