Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Bendera ya Taifa na Mwenge wa
Uhuru wa mwaka 2024 kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda kwaajili ya
kuupandisha kwenye kilele Cha mlima Kilimanjaro wakati wa Kilele Cha mbio za Mwenge
huo Mkoani Mwanza jana October 14,2024.
0 Maoni