Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la Uandikishaji kwenye
Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika
Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipatiwa maelekezo wakati akijiandikisha
kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika
Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijiandikisha kwenye Daftari la Wapiga
kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine,
Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.
0 Maoni