Unatembea kwenye kichaka kisha ghafla
unakutana na harufu nzuri ya viazi ama wali uliopikwa.
Mara unakumbuka wazee walikuambia
unapokutana na harufu hizo msituni ni nyoka na upo hatarini. Unaamua kutimua
mbio kuokoa maisha yako.
Ukweli ni kuwa hukimbii nyoka, bali ni
kwamba unaukimbia mmea huo hapo juu pichani ambao ndio wenye kutoa harufu hizo. Mmea huu kwa lugha ya Kingereza ni potato bush.
0 Maoni