Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akikagua ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Namilema, ilichojengwa kwa nguvu za
wananchi, akia kwenye ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Wilaya ya
Ruangwa Mkoani Lindi. 15, Novemba 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Namilema, akia kwenye ziara ya kukagua
miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi. 15, Novemba 2023.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akisalimiana na na mwananchi wa kijiji cha Namilema, Babuu Abdallah Pamui, akia
kwenye ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa Mkoani
Lindi. 15, Novemba 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya wananchi wa Kijiji
cha Namilema, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati alipoongea nao,
akia kwenye ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa
Mkoani Lindi. 15, Novemba 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni