Rais wa Romania, Mhe. Klaus
lohannis amewasili Zanzibar kwa ziara ya siku moja katika mwendelezo wa ziara
yake ya siku tatu nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Bandarini Malindi
amepokelewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Jamal Kassim Ali
pia na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa na
viongozi wengine wa Serikali.
Rais wa Romania, Mhe. Klaus
lohannis akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi waliofika kumpokea alipowasili Zanzibar kwa ziara ya siku moja katika mwendelezo wa ziara
yake ya siku tatu nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Romania, Mhe. Klaus
lohannis akiwa kwenye picha ya pamoja na watoto waliofika kumpokea na kumpa
maua alipowasili Zanzibar kwa ziara ya siku moja katika mwendelezo wa ziara
yake ya siku tatu nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
0 Maoni