Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi
za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa
Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed, kando ya Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika
unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Bw. Sultan Abdulrahman Al-Marshad
kushoto pamoja na Balozi wa Saudia Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Ahmed
Okesh Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.
0 Maoni