Mke wa Rais wa Zanzibar,
Msarifu na Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam
Mwinyi amekutana na Malkia Camilla Rosemary Shand Mke wa Mfalme Charles III wa
Uingereza katika mkutano wa Viongozi Wanawake ulioandaliwa na Jumuiya ya Madola
ukumbi wa Marlborough House, London Uingereza tarehe 15 Novemba 2023.
Mke wa Rais wa Zanzibar,
Msarifu na Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam
Mwinyi akiongea na Malkia Camilla Rosemary Shand Mke wa Mfalme Charles III wa
Uingereza katika mkutano wa Viongozi Wanawake ulioandaliwa na Jumuiya ya Madola
ukumbi wa Marlborough House, London Uingereza tarehe 15 Novemba 2023.
0 Maoni