Rufiji yaitika Mkutano wa Kampeni wa Dkt. Samia

 

Mgombea wa  nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Ikwiriri katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

Shamrashamra wakati Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa mkutano wa Kampeni za Uchaguzi za CCM, Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

Shamrashamra wakati Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa mkutano wa Kampeni za Uchaguzi za CCM, Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni