Dkt. Samia afanya Kampeni kubwa za Urais Sumbawanga

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Sumbawanga mjini katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Rukwa tarehe 19 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, mkoani Rukwa, tarehe 19 Oktoba, 2025.

Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa mkutano wa Kampeni Sumbawanga mjini mkoani Rukwa tarehe 19 Oktoba, 2025.

Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa mkutano wa Kampeni Sumbawanga mjini mkoani Rukwa tarehe 19 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni