Waziri Mkuu ahani msiba wa Mzee Mongela

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  leo Juni 3, 2025, amehani msiba wa Mzee  Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama Getrude Mongella, nyumbani kwa marehemu Makongo Juu jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  leo Juni 3, 2025, akitia saini kitabu cha maombolezo wakati akihani msiba wa Mzee  Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama Getrude Mongella, nyumbani kwa marehemu Makongo Juu jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  leo Juni 3, 2025, amehani msiba wa Mzee  Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama Getrude Mongella, nyumbani kwa marehemu Makongo Juu jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  leo Juni 3, 2025, amehani msiba wa Mzee  Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama Getrude Mongella, nyumbani kwa marehemu Makongo Juu jijini Dar es Salaam.

Chapisha Maoni

0 Maoni