Dennis Msacky apokelewa rasmi Uhuru Media Group

 

Mwandishi wa Habari nguli Dennis Msacky aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Uhuru Media Group-UMG, akikabidhiwa vitendea kazi na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa UMG Shaban Kissu, leo katika ofisi za UMG.

Msacky anachukua nafasi ya Kisu ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.



Chapisha Maoni

0 Maoni