Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua
ujenzi wa Mradi wa Uchakataji Maji Taka uliopo Somangira NAFCO akiwa katika
ziara ya wilaya ya Kigamboni Mkoani Dar es salaam, Oktoba 6, 2024. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,
Albert Chalamila. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Wanachama wa Jukwaa la Wajane Wilaya ya Kigamboni ambao
walijitokeza kushiriki katika tukio la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule ya
Sekondari ya Mkoa wa Dar es Salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni Kigamboni
Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa
katika picha ya pamoja na Wanachama wa Jukwaa la Wajane Wilaya ya Kigamboni
ambao walijitokeza kushiriki katika tukio la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule
ya Sekondari ya Mkoa wa Dar es Salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni
Kigamboni Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni