Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan leo September 24,2023 ameweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Maji Mtyangimbole Wilaya ya Madaba Mkoani Ruvuma kwa niaba ya Miradi 30 ya Maji inayotekelezwa Mkoani humo.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la
Msingi la mradi wa maji wa Mtyangimbole, Madaba mkoani Ruvuma tarehe 24
Septemba, 2024, pamoja naye ni Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso.
Muonekano wa
mradi wa maji wa Mtyangimbole Wilaya ya Madaba Mkoani Ruvuma.Mradi wa tank la
Maji Mtyangimbole una uwezo wa kupokea Lita milioni 1.9 na utahudumia Wananchi
takribani 14,000.
Mtambo wa kuchoronga visima vya maji unaotumia katika miradi ya maji 30
inayotekelezwa na Serikali mkoani Ruvuma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
viongozi pamoja na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa
maji wa Mtyangimbole, Madaba mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
0 Maoni