Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa kwenye hafla ya The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika
ukumbi wa The Super Dome Masaki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake
Duniani Jijini Dar es Salaam jana usiku tarehe 08 Machi, 2024.
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The
Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye
Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam jana usiku tarehe 08
Machi, 2024.
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The
Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye
Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam jana usiku tarehe 08
Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akipiga makofi pamoja na viongozi wengine wakati wa hafla ya The Citizen
Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es
Salaam jana usiku tarehe 08 Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa kwenye ukumbi wa The Super
Dome Masaki Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya The Citizen
Rising Woman jana usiku tarehe 08 Machi, 2024.
0 Maoni