Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imefanya upasuaji wa
kuunganisha mifupa ya taya na uso iliyovunjika kwa mtu aliyepata ajali.
Daktari Bingwa wa Kinywa na Meno Muhimbili Mloganzila Dkt. Dominicus Kabogo amesema kufanyika kwa upasuaji huo kutasaidia kuleta ufanisi wa kutafuna, kuongea na mgonjwa kurejesha muonekano mzuri wa uso.
0 Maoni