Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akimpa mkono wa pole Kassim Abdallah, ambaye ni mtoto wa Marehemu Bi. Fatma
Mikidadi aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa na Mbunge wa Viti Maalum kwa
nyakati tofauti, mkoani Lindi Novemba 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akizungumza na wafiwa kwenye mazishi ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya
Ruangwa na Mbunge wa Viti Maalum kwa nyakati tofauti Marehemu Bi. Fatma
Mikidadi, mkoani Lindi Novemba 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akishiriki kwenye sala ya kumuombea aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa na
Mbunge wa Viti Maalum kwa nyakati tofauti Marehemu Bi. Fatma Mikidadi, mkoani
Lindi Novemba 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akiweka udongo kwenye kaburi, katika mazishi ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya
ya Ruangwa na Mbunge wa Viti Maalum kwa nyakati tofauti Marehemu Bi. Fatma
Mikidadi, mkoani Lindi Novemba 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni