Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa Saba wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania
(TEF) baada ya kuufungua rasmi, katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, Novemba
13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akipokea tuzo ya kuthamini mchango wake katika vyombo vya Habari, kutoka kwa
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, wakati
alipofungua Mkutano Mkuu wa Saba wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
uliyofanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, Novemba 13, 2023. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akisalimiana na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus
Balile, wakati alipofungua Mkutano Mkuu wa Saba wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri
Tanzania (TEF) uliyofanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, Novemba 13,
2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akisalimiana na Mwanahabari Mkongwe, Salim Said Salim, wakati alipofungua
Mkutano Mkuu wa Saba wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) uliyofanyika
katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, Novemba 13, 2023. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akizungumza na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya
Habari, Mhandisi Mathew Kundo, wakati alipofungua Mkutano Mkuu wa Saba wa Mwaka
wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) uliyofanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani
Lindi, Novemba 13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,
akimkabidhi tuzo kwa niaba ya NSSF, Lulu Mengere kwenye Mkutano Mkuu wa Saba wa
Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) baada ya kuufungua rasmi, katika
Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, Novemba 13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni