Rais Samia ashiriki Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika

 

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassana ameshiriki Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh, nchini Morocco.

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassana ameshiriki Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh, nchini Morocco.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh nchini Morocco tarehe 08 Novemba, 2023.



Chapisha Maoni

0 Maoni