Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa leo Septemba 6, 2023
amezungumza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto
Biteko katika kikao kazi kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa
jijini Dodoma.
Kikao kazi hicho pia kilihudhuriwa na Waziri wa Nchi, Ofisi
ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako
na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge na Uratibu, Jenista
Mhagama.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko walipokutana leo Septemba 6, 2023 katika kikao kazi kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
0 Maoni