Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akifuatilia jambo katika Mkutano
wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Jijini Nairobi
nchini Kenya.
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Rais wa
Kenya Rigathi Gachagua alipowasili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa
Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika, Nairobi nchini Kenya.
0 Maoni