Mshambuliaji Raheem Sterling anawaza kutikisa nyavu kwa asilimia
100, baada ya kufunga magoli mawili na kuisaidia Chelsea kuifunga Luton magoli
3-0.
Matokeo hayo ya katika Ligi Kuu ya Uingereza yanaifanya
Chelsea kupata ushindi wa kwanza wa ligi hiyo ikinolewa na kocha Mauricio
Pochettino.
Sterling, 28, alifunga magoli hayo mawili na kusaidia linguine
la Nicolas Jackson jana Ijumaa, akirejea katika kiwango chake.
0 Maoni