Je, umewahi kufikiri kuwa upo klabu, muziki unakita na taa
za rangi mbalimbali zinawaka kukupandisha mzuka wa kusakata disco.
Lakini unapoangalia juu eneo la chumba cha DJ, huoni mtu
kutokana na kuwa upo kwenye kizazi cha mziki ulipangiliwa na kuchanganywa kwa
kutumia akili bandia (AI).
Teknolojia ya kuchanganya muziki inazidi kuimaraka na kumbi
za klabu sasa zinapunguza bajeti ya ma-DJ, hali inayoibua wasiwasi katika sekta
ya muziki wa dansi.
Hata hivyo swali linabaki ni kweli komputa inaweza kuondoa
uhalisi wa muziki wa klabu unaowaunganisha DJ na wachezaji?
0 Maoni