Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan atamuapisha Dkt.
Mwingulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
hafla itakayofanyika kesho Novemba 14, 2025 Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan atamuapisha Dkt.
Mwingulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
hafla itakayofanyika kesho Novemba 14, 2025 Ikulu ya Chamwino Dodoma.
0 Maoni