Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dodoma , Mchungaji Stanley Tabulu alipowasili kwenye Usharika wa KKKT Kisasa jijini Dodoma , kushiriki ibada ya Jumapili , Novemba 16.2025. Kulia ni mkewe Mama Neema Mwigulu Nchemba, kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Daniel Sllo na wa tatu kulia ni Askofu wa KKKt Dayosisi ya Dodoma, Askofu Christian Ndosa.
Waziri Mkuu,
Dkt. Mwigulu Nchemba na mkewe Mama Neema Mwigulu Nchemba wakishiriki katika Ibada
ya Jumapili kwenye Usharika wa KKKT Kisasa jijini Dodoma, Novemba 16, 2025.
Kulia ni Naibu Spika wa Bunge Daniel Sillo.
Waziri Mkuu,
Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza katika Ibada ya Jumpili aliyoshiriki katika Usharika
wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Kisasa jijini Dodoma, Novemba 16,
2025.
Waziri Mkuu,
Dkt. Mwigulu Nchemba na Mkewe Neema Mwigulu Nchemba (wa tatu kulia) pamoja na
viongozi wengine wakiombewa waliposhiriki katika Ibada ya Jumapili kwenye
Usharika wa Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania (KKKT) Kisasa Dodoma, Novemba 16, 2025. Kulia ni Naibu Spika wa Bunge, Daniel Siro.
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu).




0 Maoni