Majaliwa mgeni rasmi Siku ya Mwalimu Bukombe

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tayari amewasili kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Ushirombo kusherehekea Siku ya Mwalimu Bukombe.

Mhe. Kassim Majaliwa ambaye ni mgeni rasmi katika Siku ya Mwalimu - Bukombe amewasili katika viwanja hivi akiambatana na mgombea Ubunge jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko.

Huu unakuwa msimu wa sita wa Maadhimisho ya Siku ya Mwalimu Bukombe tangu yalipoanzishwa rasmi.




#Bukombe

#kusemanakutenda

#SikuyaMwalimuDuniani

#sikuyamwalimubukombe2025


Chapisha Maoni

0 Maoni