Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Nyerere

 

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa  Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lililofanyika kwenye ukumbi wa Maktaba Mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Oktoba 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). 

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa  Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lililofanyika kwenye ukumbi wa Maktaba Mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Oktoba 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi  alipowasili kwenye ukumbi wa Maktaba Mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kumwakilisha Rais Dkt. Samia  kwenye ufunguzi wa  Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Oktoba 11, 2025. Kutoka kushoto ni  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete,  Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo , Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa William Anangisye na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni