Dkt. Samia aendelea na Kampeni za Urais Bukoba

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Bukoba mjini katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 16 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Bukoba mjini waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera tarehe 16 Oktoba, 2025.

Baadhi ya viongozi wa dini waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera tarehe 16 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Bukoba mjini waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera tarehe 16 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni