Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa
Muheza katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Tanga tarehe
29 Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya
Uchaguzi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Muheza Ndugu Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’ mara
baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Muheza
mkoani Tanga tarehe 29 Septemba, 2025.
Sehemu ya
wananchi wa Muheza mkoani Tanga waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mgombea wa
nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe
29 Septemba, 2025.
Sehemu ya
wananchi wa Muheza mkoani Tanga waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mgombea wa
nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe
29 Septemba, 2025.




0 Maoni