Waziri Mkuu Majaliwa atembelea viwanda nchini Belarusi

 

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiangalia utengenezaji wa dawa za binadamu alipotembelea kwanda cha Belmedpreparaty kilichopo Minsk nchini Belarusi Julai 22, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiangalia utengenezaji wa dawa za binadamu alipotembelea kwanda cha Belmedpreparaty kilichopo Minsk nchini Belarusi Julai 22, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akitazama matrekta na zana mbalimbali za kilimo alipotembelea kiwanda cha  Minsk Tractor Plant kinachotengeneza matrekta   na mitambo ya kisasa ya  zana za kilimo   akiwa katika ziara  ya kikazi nchini Belarus Julai 22, 2025. Kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika  Mashariki, Cosato Chumi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akitazama matrekta na zana mbalimbali za kilimo alipotembelea kiwanda cha Minsk Tractor Plant  kinachotengeneza  mitambo na zana za  kilimo  akiwa katika ziara  ya kikazi nchini Belarus Julai 22, 2025. Kulia  ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika  Mashariki, Cosato Chumi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni