Waziri Mkuu Majaliwa atembelea ubalozi wa Tanzania UAE

 

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo Julai 25,2025 ametembelea ubalozi wa Tanzania, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) uliopo Abudhabi.

Mhe. Majaliwa alipokelewa na Balozi wa Tanzania UAE  Luteni Jenerali Mstaafu,Yacub Mohmed na watumishi wa ubalozi huo.


Chapisha Maoni

0 Maoni