Rais Samia afungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe akiwa na viongozi mbalimbali kama ishara ya ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali wakipiga makofi baada ya kusogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtume Boniface Mwamposa mara baada ya kuwasili katika ufunguzi Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Waumini wa kanisa la Arise and Shine  alipowasili katika hafla ya ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam. 

Waumini mbalimbali wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya  Kufungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Viongozi mbalimbali wa wadini na serikali wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe Jijini Dar es Salaam.

Chapisha Maoni

0 Maoni