Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 22 Juni, 2025.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 22 Juni, 2025.

Mawaziri, Makatibu Wakuu pamoja na viongozi wengine wakiwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 22 Juni, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni