Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa
kuashiria ufunguzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km
3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 katika eneo la Kigongo,
Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya
barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari
hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari, 2020.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mama Janeth Magufuli alipofungua Daraja la J.P Magufuli
(Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu
wa km 1.66 katika eneo la Kigongo, Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025.
Daraja hilo ambalo ni sehemu ya barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu
ya barabara kuu inayoanzia Sirari hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi
mwezi Februari, 2020.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata akibonyeza kitufe
kuashiria ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km
3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 katika eneo la Kigongo,
Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya
barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari
hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari, 2020.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipunga bendera kuashiria
kuanza kutumika rasmi kwa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa
km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 mkoani Mwanza.
Taswira ya Daraja la
J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara
unganishi zenye urefu wa km 1.66 ambalo limefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Kigongo,
Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya
barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari
hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari, 2020.
Taswira ya Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 ambalo limefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Kigongo, Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari, 2020.
0 Maoni