Furaha ya kusalimiana na Rais Dkt. Samia mbele ya baba

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana kwa furaha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete huku Baba yake Rais Mtaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete akifurahi nao.

Tukio hili adimu limetokea kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 katika eneo la Chuo cha ufundi Kalwande, Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanzatarehe 19 Juni, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni