Mwenyekiti wa CCM Rais Samia akiimba Wimbo wa Taifa

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan na Meza kuu wakiimba Wimbo wa Taifa wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete JKCC Mkoani Dodoma leo Machi 29,2025.




Chapisha Maoni

0 Maoni