Mhandisi Masauni aungana na Waziri Mkuu Maonesho ya Osaka

 

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Rais Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ameungana na ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa uliopo nchini Japan Kushiriki maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 Osaka Japan ambapo leo Mei 25, 2025 ni Siku ya Taifa la Tanzania (Tanzania National Day).

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Rais Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ameungana na ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa uliopo nchini Japan Kushiriki maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 Osaka Japan ambapo leo Mei 25, 2025 ni Siku ya Taifa la Tanzania (Tanzania National Day).

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Rais Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ameungana na ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa uliopo nchini Japan Kushiriki maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 Osaka Japan ambapo leo Mei 25, 2025 ni Siku ya Taifa la Tanzania (Tanzania National Day).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akiongea akiwa  nchini Japan akishiriki maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 Osaka Japan ambapo leo Mei 25, 2025 ni Siku ya Taifa la Tanzania (Tanzania National Day).

Chapisha Maoni

0 Maoni