HAWA HAPA WALIOPITA USAILI WA AWALI TRA

 

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza orodha ya majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika, ambapo sasa wanaitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo.

TRA imewataarifu wasailiwa waliofaulu na kuchaguliwa kushiriki usaili wa mahojiano na vitendo kwamba, ratiba ya usaili huo itatolewa tarehe 29 Aprili, 2025 kupitia tovuti ya Mamlaka.

Ili kupata orodha ya majina yote bofya link hii hapa chini :-

https://www.tra.go.tz/images/uploads/public_notice/english/MAJINA_YA_USAILI.pdf

Chapisha Maoni

0 Maoni