Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Canada hapa nchini Mhe. Emily Burns
Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule Uturuki hapa nchini Mhe. Bekir Gezer Ikulu
Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Japan hapa nchini Mhe. Mikami Yoichi
Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Equatorial Guinea hapa nchini mwenye
makazi yake Kampala nchini Uganda Mhe. Carmelo Micha Nguema Misi Ikulu Jijini
Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Thailand hapa nchini mwenye makazi yake
Nairobi nchini Kenya Mhe. Morakot Janemathukorn, Ikulu Jijini Dar es Salaam
tarehe 28 Machi, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Tunisia hapa nchini mwenye makazi yake
Nairobi nchini Kenya Mhe. Anouar Ben Youssef Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe
28 Machi, 2025.
0 Maoni