Waziri Mkuu Majaliwa ahitimisha jimbo CUP Ruangwa

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi, katika fainali za Jimbo Cup, zilizofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, ambapo Kiwengwa FC ilishinda kwa penati goli 4-1 dhidi ya Stand FC, Novemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishuhudia fainali za Jimbo Cup, zilizofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, Novemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi kikombe Nahodha wa Kikosi cha Kiwengwa FC Yahaya Abdallah Khamis, katika fainali za Jimbo Cup, zilizofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, ambapo Kiwengwa FC ilishinda kwa penati goli 4-1 dhidi ya Stand FC, Novemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi jezi na minira Nahodha wa Kikosi cha Stand FC Abdul Patrick Shishimbi, katika fainali za Jimbo Cup, zilizofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, ambapo Kiwengwa FC ilishinda kwa penati goli 4-1 dhidi ya Stand FC, Novemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja Kikosi cha Kiwengwa FC ambao ni mabingwa wa Jimbo Cup 2024, kwenye fainali zilizofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, ambapo Kiwengwa FC iliibuka mshindi kwa penati ya goli 4-1 dhidi ya Stand FC, Novemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Chapisha Maoni

0 Maoni