Rais Samia apiga kura katika Kitongoji cha Sokoine

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024.

Rais Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye foleni ya kupigia kura katika Kituo cha kupiga kura kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma.



Chapisha Maoni

0 Maoni