Dkt. Biteko awasili Mara kunzindua kampeni za CCM

 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akivalishwa skafu na Kijana wa Hamasa na Itifaki Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mara, Godwin Gudluck Bunyoga wakati wa mapokezi alipowasili Mkoani Mara kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Mara uliofanyika Novemba 20, 2024 katika uwanja wa nyangoto Stendi - Nyamongo Wilaya ya Tarime.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na viongozi wa CCM alipowasili Mkoani Mara kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Mara uliofanyika Novemba 20, 2024 katika uwanja wa nyangoto Stendi - Nyamongo Wilaya ya Tarime.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na viongozi wa CCM alipowasili Mkoani Mara kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Mara uliofanyika Novemba 20, 2024 katika uwanja wa nyangoto Stendi - Nyamongo Wilaya ya Tarime.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokelewa alipowasili Mkoani Mara kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Mara uliofanyika Novemba 20, 2024 katika uwanja wa nyangoto Stendi - Nyamongo Wilaya ya Tarime.

Chapisha Maoni

0 Maoni