Waandishi wa habari wawili wa mkoa wa Lindi wamefariki dunia
katika ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Nyamwage mkoani Pwani.
Wanahabari hao walikuwa wanatokea Jjini Dar es Saalam kurudi
mkoani Lindi ambapo walipata ajali mnamo majira ya saa saba usiku wa kuamkia
leo.
Waliofariki ni mwandishi wa habari wa Kampuni ya Sahara Media
group Mkoa wa Lindi Josephine Kiberity pamoja na mwandishi wa habari wa Channel
Ten mkoani Lindi Abdallah Nanda.
0 Maoni