Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimuapisha Dkt. James Peter Mataragio kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
ya Nishati kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo Tunguu, Zanzibar tarehe 05
Machi, 2024.
Dkt. James Peter Mataragio akila kiapo cha kuwa Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo Tunguu,
Zanzibar tarehe 05 Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza mara baada ya kumuapisha
Dkt. James Peter Mataragio kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati
kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Machi, 2024.
0 Maoni