Rais Mwinyi afuturu na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Watu wenye mahitaji maalumu wenye ulemavu, Wajane, Mayatima na Wazee.

Pia, makundi mbalimbali  wameshiriki wakiwemo Masheikh, Boda boda, Wajasiriamali katika Futari maalum aliyowaandalia ukumbi wa VETA, Mkoa wa Kaskazini Unguja tarehe: 21 Machi 2024.




Chapisha Maoni

0 Maoni